mambo vp
Karibu kwenye ukurasa wetu unaotoa fursa na mbinu za kujiinguzia kipato mtandaoni kupitia simu yako laptop au desktop yao
Leo tutaangazia biashara ya Forex yenye utajiri mkubwa duniani
FOREX ni biashara yenye utajiri mkubwa zaidi duniani ambayo inafanyika mtandaoni na inahusisha Masoko makubwa na taasisi kubwa duniani na watu wa kawaida kama Mimi na wewe
Unaweza kutengeneza akaunti kwa broker ambaye amesajiliwa(regulated) na vyombo. Vya kimataifa vya fedha
Wapo broker wengi unaweza kuwatumia ila kwa Tanzania wanatumika
Temples.com
Tickmill.com
Binary.com
Hawa wanatumika zaidi Afrila mashariki kwa sababu wanarahidisha utoaji na uwekaji wa fedha kwenye akaunti yako
Hii biashara imechagizwa sana na mapinduzi ya Teknolojia ambapo sasa mtu yeyote anaweza kuifanya kwa kutumia mtandao wa internet kompyuta au simu janja/smartphone
Forex ni kifupisho cha Foreign exchange yaan ubadilishaji wa fedha za kigeni kama. Dollar, Euro, paund, Yen
Kama vile wanavyofanya bureau de change ila forex imafanyika online
Forex ni biashara halali kabisa ulimwenguni na INA utajiri mkubwa sana pia hasara vile vile
Biashara hii unaweza kufanyia popote unahitaji tu compyuta laptop au simu janja(smartphone)
Programu maalumu yenye uwezo wa kusoma solo program hii inaitwa Trading platform zipo nyingi ila maarufu sana ni meter trade 4 au 5 ( MT 4 na MT 5
HATUA ZA KUFUATA ILI UWEZE KUFANYA BIASHARA YA FOREX
1:Lazima uwe na Elimu( knowledge)
Inakadiriwa kuwa 98% ya wanaofanya biashara hii ya forex wanapoteza pesa zao sababu kibwa ni ukosefu wa knowldge hivyo kama unataka kuifanya biashara hii tafuta kwanxa knowledge
Ili unapofanya uwekezaji wako uweze kufanya biashara hii na kupata faiida
2:Lazima ufungue account kwa broker akaunti utakayofungua kwa broker ni kwaajili ya kuweka mtaji wako ambapo broker anakuwa mtu kati atakayekuunganisha na soko hvyo utaweza kutoa na kuweka pesa kwa usalama kabisa
3:Lazima uwe na platform hii ndio sehemu inayoonyesha soko na hivyo unaweza kuuza na kununua na ukapata faida yako platform zinapatikana kwa broker platform maarufu zinazotumia zaidi duniani ni Meter trade 4 na 5
4 : Lazima uwe na mtaji ili uweze kuanza forex haikuhitaji uwe na mtaji mkubwa unaweza kuanza na kutokana na kiwango cha broker kama temples.com unaanza na dollar 1 binary.com dollar 10 na wengine dollar 100 na kuendelea
Ahsante nitashuru kama utaacha comment yako hapa chini
UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI
ReplyDelete(Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)
MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO