Monday, January 6, 2020

FOREX Biashara yenye utajiri mkubwa duniani



 mambo vp
 Karibu kwenye ukurasa wetu unaotoa fursa na mbinu za kujiinguzia kipato mtandaoni kupitia simu yako laptop au desktop yao
Leo tutaangazia biashara ya Forex yenye utajiri mkubwa duniani

 FOREX  ni biashara yenye utajiri mkubwa zaidi duniani ambayo inafanyika mtandaoni na inahusisha Masoko makubwa na taasisi kubwa duniani na watu wa kawaida kama Mimi na wewe


 Forex ni biashara mtu yeyote anaweza kujifunza na kuifanya na kutengeneza pesa nyingi sana
 Unaweza kutengeneza akaunti  kwa broker ambaye amesajiliwa(regulated) na vyombo. Vya kimataifa vya fedha
   Wapo broker wengi unaweza kuwatumia ila kwa Tanzania wanatumika
Temples.com
Tickmill.com
Binary.com
 Hawa wanatumika zaidi Afrila mashariki kwa sababu wanarahidisha utoaji na uwekaji wa fedha kwenye akaunti yako
   Hii biashara imechagizwa sana na mapinduzi ya Teknolojia ambapo sasa mtu yeyote anaweza kuifanya kwa kutumia mtandao wa internet kompyuta au simu janja/smartphone
   Forex ni kifupisho cha Foreign exchange yaan ubadilishaji wa fedha za kigeni kama. Dollar, Euro, paund, Yen
Kama vile wanavyofanya bureau de change ila forex imafanyika online
  Forex ni biashara halali kabisa ulimwenguni na INA utajiri mkubwa sana pia hasara vile vile
  Biashara hii unaweza kufanyia popote unahitaji tu compyuta laptop au simu janja(smartphone)
Programu maalumu yenye uwezo wa kusoma solo program hii inaitwa Trading platform  zipo nyingi  ila maarufu sana ni meter trade 4 au 5 ( MT 4 na MT 5

HATUA ZA KUFUATA ILI UWEZE KUFANYA BIASHARA YA FOREX
1:Lazima uwe na Elimu( knowledge)
Inakadiriwa kuwa 98% ya wanaofanya biashara hii ya forex wanapoteza pesa zao sababu kibwa ni ukosefu  wa knowldge  hivyo kama unataka kuifanya biashara hii tafuta kwanxa knowledge
   Ili unapofanya uwekezaji wako uweze kufanya biashara hii na kupata faiida
2:Lazima ufungue account kwa broker akaunti utakayofungua kwa broker ni kwaajili ya kuweka mtaji wako ambapo broker anakuwa mtu kati atakayekuunganisha na soko hvyo utaweza kutoa na kuweka pesa kwa usalama kabisa
3:Lazima uwe na platform  hii ndio sehemu inayoonyesha soko na  hivyo unaweza kuuza na kununua na ukapata faida yako platform zinapatikana kwa broker platform maarufu zinazotumia zaidi duniani ni Meter trade 4 na 5
4 : Lazima uwe na mtaji  ili uweze kuanza forex haikuhitaji uwe na mtaji mkubwa  unaweza kuanza na kutokana na kiwango cha broker kama temples.com unaanza na dollar 1 binary.com dollar 10 na wengine dollar 100 na kuendelea
   Ahsante nitashuru kama utaacha comment yako hapa chini

No comments:

Post a Comment