Wednesday, January 8, 2020

Jipatie dollar($) 2 kila siku kwa kualika watu kipitia mitandao ya kijamii kama Facebook whatsup Instagram na twiter.

Habari za muda mpenzi wa blog hii
Karibu Leo ujifunze jinsi ya kujipatia dollar 2 kila siku online kwa kuwaalika watu kujiunga na website inayotangaza bidhaa mbalimbali mtandaoni
 Leo nitaonyesha ni namna gani unaweza kujiunga na ukatengeneza $ zaidi ya 2 kila siku....
 Utabonyeza link hii itakayokupeleka moja kwa moja kwenye website hiyo  https://www.Idplr.com/a/Mcharo



Hatua za kufuata baada ya kibonyeza hiyo link


Ukibonyeza hiyo link itakupeleka mpka sehemu kama hii bonyeza Register for free

Moja kwa moja utapelekwa sehemu hii





Utajaza sehemu zote hizo za majina yako email na password then utabonyeza ant sparm mpka itokee tiki pia anti spam wanaweza kukupa picha uchague kama test na ukimaliza click hapo itatokea tiki kuonyesha imekubali then bonyeza next ukibomyeza hapo utaletwa mpka sehemu hii  hapa inaonyesha tayari umekubaliwa hivyo unatakiwa uverify account yako  Verification itakuwa imetumwa kwenye email uliojisajili nayo hivyo utaenda kwenye email inbox yako ili kuverify

Baada ya kuingia kwenye inbox ya email yako utakuta ujumbe kama huu then utabonyeza sehemu iliyoandika  click here to activate your account

 Baada ya kubonyeza verification utapelekwa hadi kwenye dashboard kama hii


Ili uweze kupata link yako ya kujiingizia kipato  bonyeza Affiliate then shuka kidogo chini bonyeza maandishi mekundu yaliyoandikwa affiliate program here.
 Baada ya kubonyeza utaletwa mpaka hapa ukifika hapa shuka  mpaka  chini kabisa
Ukishuka mpaka chini utakuta maelezo mengi hayo achana nayo unachotakiwa kufanya ni kutafuta maneno hayo hapo chini na ubonyeze
Baada. Ya. Kubonyeza utapelekwa mpka hapa baada ya kufika hapa weka jina lolote unalopenda Ili liunganishwe na link yako 
Baada ya kuweka username bonyeza create moja kwa moja utapelekwa kwenye ukurasa mwingine shuka mpaka chini kabisa utakuta link mbili method 1 na method 2 achana na method 1 chukua link ya method 2 hiyo ndio link yako itakayokuwezasha kuwaunganisha watu na ukalipwa pesa yako  fasta
JINSI YA KUANGALIA KAMA UMELIPWA NA NAMNA YA KUJIUNGA NA NJIA ZA KUTOA PESA YAKO
    Baada ya kupata link yako rudi kwenye dashboard yako kama inavyoonekana hapo bonyeza Affiliate kama unavyoina hapa
Utaletwa kwenye ukurasa huu then utabonyeza menyu kama unavyoiona IPO karibu na mcharo
Utaletwa kwenye page hii ya user home kwenye dashboard utabonyeza affiliate info ambapo ndio inaonyesha kiasi ulicholipwa watu waliojiunga na njia ya kutoa pesa yak...Mimi napendelea paypal

Ingiza njia ya kutoa pesa kama inavyoonekana hapa
Mpka hapo utakuwa tayari umejisajili na kazi uliyonayo ni kualika watu kupitia social network zote kwa kupitia link uliyopewa na unaweza kupata $ nyingi endapo watu watajiunga kwa kupitia link yako
 Nakukaribisha tena na tena usikose kufuatilia mbinu za kujiingizia kipato online kirahisi hapa hapa bennymcharo.blogsport.com
Acha comment yako hapa chini nafurahi nikisika mawazo yako pia bonyeza hapa Ili kujiunga na Affiliate market. .https://www.Idlr.com/a/Mcharo

Monday, January 6, 2020

Njia rahisi za kutengeneza pesa mtandaoni

Tengeneza pesa mtandaoni kila siku ukiwa nyumbani

FOREX Biashara yenye utajiri mkubwa duniani



 mambo vp
 Karibu kwenye ukurasa wetu unaotoa fursa na mbinu za kujiinguzia kipato mtandaoni kupitia simu yako laptop au desktop yao
Leo tutaangazia biashara ya Forex yenye utajiri mkubwa duniani

 FOREX  ni biashara yenye utajiri mkubwa zaidi duniani ambayo inafanyika mtandaoni na inahusisha Masoko makubwa na taasisi kubwa duniani na watu wa kawaida kama Mimi na wewe


 Forex ni biashara mtu yeyote anaweza kujifunza na kuifanya na kutengeneza pesa nyingi sana
 Unaweza kutengeneza akaunti  kwa broker ambaye amesajiliwa(regulated) na vyombo. Vya kimataifa vya fedha
   Wapo broker wengi unaweza kuwatumia ila kwa Tanzania wanatumika
Temples.com
Tickmill.com
Binary.com
 Hawa wanatumika zaidi Afrila mashariki kwa sababu wanarahidisha utoaji na uwekaji wa fedha kwenye akaunti yako
   Hii biashara imechagizwa sana na mapinduzi ya Teknolojia ambapo sasa mtu yeyote anaweza kuifanya kwa kutumia mtandao wa internet kompyuta au simu janja/smartphone
   Forex ni kifupisho cha Foreign exchange yaan ubadilishaji wa fedha za kigeni kama. Dollar, Euro, paund, Yen
Kama vile wanavyofanya bureau de change ila forex imafanyika online
  Forex ni biashara halali kabisa ulimwenguni na INA utajiri mkubwa sana pia hasara vile vile
  Biashara hii unaweza kufanyia popote unahitaji tu compyuta laptop au simu janja(smartphone)
Programu maalumu yenye uwezo wa kusoma solo program hii inaitwa Trading platform  zipo nyingi  ila maarufu sana ni meter trade 4 au 5 ( MT 4 na MT 5

HATUA ZA KUFUATA ILI UWEZE KUFANYA BIASHARA YA FOREX
1:Lazima uwe na Elimu( knowledge)
Inakadiriwa kuwa 98% ya wanaofanya biashara hii ya forex wanapoteza pesa zao sababu kibwa ni ukosefu  wa knowldge  hivyo kama unataka kuifanya biashara hii tafuta kwanxa knowledge
   Ili unapofanya uwekezaji wako uweze kufanya biashara hii na kupata faiida
2:Lazima ufungue account kwa broker akaunti utakayofungua kwa broker ni kwaajili ya kuweka mtaji wako ambapo broker anakuwa mtu kati atakayekuunganisha na soko hvyo utaweza kutoa na kuweka pesa kwa usalama kabisa
3:Lazima uwe na platform  hii ndio sehemu inayoonyesha soko na  hivyo unaweza kuuza na kununua na ukapata faida yako platform zinapatikana kwa broker platform maarufu zinazotumia zaidi duniani ni Meter trade 4 na 5
4 : Lazima uwe na mtaji  ili uweze kuanza forex haikuhitaji uwe na mtaji mkubwa  unaweza kuanza na kutokana na kiwango cha broker kama temples.com unaanza na dollar 1 binary.com dollar 10 na wengine dollar 100 na kuendelea
   Ahsante nitashuru kama utaacha comment yako hapa chini